Tafuta

Tafuta viwanja na nyumba
kwa haraka na urahisi Tanzania

Tafuta
Mkoa, Mahali, Nyumba/Viwanja, n.k.

Zilizotuvutia Zaidi

Mali na viwanja vilivyochaguliwa vyema vinavyostahili kuangaliwa

Studio Apartment inapangishwa Kawe Beach, Dar Es Salaam
Featured
1

Sh. 600,000/month

For Rent1 bedstudio
Kawe, Dar Es Salaam
Kiwanja kinauzwa Goba, Dar Es Salaam
Promoted
Featured
5

Sh. 72,000,000

For Sale1,200 sqm
Goba, Dar Es Salaam
Kiwanja kinauzwa Bunju, Dar Es Salaam
Promoted
Featured
1

Sh. 25,000,000

For Sale1,600 sqmInstallment
Bunju, Dar Es Salaam
Kiwanja kinauzwa Mbweni, Dar Es Salaam
Promoted
Featured
1

Sh. 38,000,000

For Sale2,115 sqmInstallment
Mbweni, Dar Es Salaam

Zilizoongezwa hivi karibuni

Tazama viwanja na nyumba zilizoongezwa hivi karibuni

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Vikindu, Pwani (1350 sqm)
8

Sh. 290,000,000

For Sale5 beds1,350 sqmhouse
Vikindu, Pwani
Kiwanja kinauzwa Bunju, Dar Es Salaam
Promoted
1

Sh. 22,000,000

For Sale1,500 sqmInstallment
Bunju, Dar Es Salaam
Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1200 sqm)
1

Sh. 150,000,000

For Sale1,200 sqm
Kibada, Dar Es Salaam

Wauzaji & Madalali Wanaotrend

Wanaofanya kazi zaidi siku 5 zilizopita

Jinsi Inavyofanya Kazi

Pata mali yako ya ndoto kwa hatua 4 rahisi

1

Tafuta Viwanja & Nyumba

Tumia vichujio vyetu kutafuta nyumba, viwanja, mashamba, au nafasi za biashara zinazokidhi mahitaji na bajeti yako.

2

Wasiliana na Muuzaji

Wasiliana moja kwa moja na wamiliki wa mali au madalali kupitia simu au ujumbe wa WhatsApp.

3

Tembelea & Jadiliana

Panga safari ya kuona mali ana kwa ana na kujadiliana bei bora na muuzaji.

4

Kamilisha Mkataba

Kamilisha makubaliano ya ununuzi au upangishaji na uingie kwenye mali yako mpya.

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Pata majibu ya maswali ya kawaida kuhusu kununua na kupanga Tanzania

Tumia sehemu ya 'search' kuchangua eneo unalotaka, kisha chuja kwa aina ya mali (nyumba, kiwanja, shamba, biashara), aina ya tangazo (nunua au pangisha), na kiwango cha bei. Unaweza pia kutafuta kwa maeneo maarufu au kutumia viungo vyetu vya haraka kupata aina maalum za mali.

Ndio! Kutafuta mali na kuwasiliana na wauzaji ni bure kabisa. Wamiliki wa mali na madalali wanaweza kuweka matangazo yao kwenye jukwaa letu kufikia maelfu ya wanunuzi na wapangaji kote Tanzania.

Kila tangazo linaonyesha maelezo ya mawasiliano ya muuzaji. Unaweza kuwapigia simu moja kwa moja au kutuma ujumbe wa WhatsApp. Tunapendekeza kupanga ziara kuona mali ana kwa ana kabla ya kufanya maamuzi yoyote.

Tunashughulikia mikoa yote ya Tanzania ikiwa ni pamoja na Dar es Salaam, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, Tanga, Morogoro, Zanzibar, na zaidi. Matangazo yetu yanajumuisha mali za mijini, vitongoji, na vijijini.

Tembelea makazimapya.com na ubonyeze 'Login/Register'. Ukitangaza mali kwenye Instagram Business, bonyeza 'Sign in with Instagram' kuunganisha akaunti yako - matangazo yako ya Instagram yataonekana MakaziMapya moja kwa moja! Au, ingia kwa Google kuweka matangazo manually. Bonus: Ukiunganisha Instagram, matangazo unayotengeneza MakaziMapya yanaweza kushirikiwa kwenye ukurasa wako wa Instagram pia!

Unahitaji Msaada?