House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO JIRANI NA BARABARA INAPANGISHWA
ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 18/07/2024 KUONA NDANI RUKSA KABISA ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO NA MALIPO YANAPOKELEWA 
BEI NI 500,000/= X 6
________________________________________________________
๐ฅ APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO
# VYUMBA 2 VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM
#SEBULE KUBWA
#JIKO KUBWA LENYE MAKABATI 
#PUBLIC  TOILET
#LUKU NA MITA YA MAJI 
#DAWASA INAJITEGEMEA 
#PARKING
#GARDEN NZURI
#ZIPO APARTMENT 4 KWENYE FENSI MOJA 
BEI NI 500,000/= X 6
________________________________________________________
๐๏ธ APARTMENT HII IPOv KIMARA KOROGWE UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 4 TUU KWA MIGUU ( NI DK ZA UKWELI KABISA) NA NJIA NI RAFIKI KWA AINA ZOTE ZA MAGARI HADI KWENYE NYUMBA
KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15
________________________________________________________
 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA
๐ฅ ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 18/07/2024
*KWA MAELEZO ZAIDI PIGA*
========================
*WSP:0620_436331*
*CALL:0758_602157*
========================




















