1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







(160,000 ร 6) ๐๐๐ ๐๐ฅ๐ ๐ ๐ช๐๐ฆ๐๐ข UNAWEZA PITIA
๐๐๐ ๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐จ๐๐
Nyumba nzuri sana inapangishwa 160,000
Ina chumba kimoja master
Sebule
Jiko zuri
Public toilet
Maji yanaflow ndani
Luku UNAJITEGEMEA
Malipo kuanzia miezi 6
Ipo km 2.5 kutoka kituoni mwendokasi
Bajaji zipo 700 kutokea KIMARA SUKA KIMARA au MWISHO
Ukishuka kwenye Bajaji unaingia ndani
SERVICE charge ni shilingi 15,000
Malipo ya dalali ni Mwezi mmoja
Kwa mawasiliano zaidi na huduma ya haraka piga simu
Usitume sms wala Dm maana zitachelewa kujibiwa
0654101710
0787205300