1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿#MASTER_ROOM INAPANGISHWA
📍Kimara Bucha
🕓Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi dakika 10_12 kwa mguuu boda boda 1000 Tu mpaka hapo
#SIFAZAKE
🌲Chumba kimoja Master kikubwaa
🌲Umeme Sub-meter yake Tu inafungwa
🌲Maji Yapo nje
🌲Fence amna ila usalama wa kutosha
👉Ziko 4 kwenye compaund moja
🔹KODI Tsh 100,000/= × 6 (MIEZI SITA)
🔹MALIPO YA DALALI TSH 100,000/=
🔹SERVICE CHARGE Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇
O627977383
& Whatsapp📞
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😄