1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







MASTER_ROOM INAPANGISHWA
๐Kimara korogwe
๐Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi dakika 10 kwa mguuu
๐ Hii inafaulishwa inakuwa wazi date 01/06/2025 kuona ndani na kufanya malipo inaruhusiwa
#SIFAZAKE
๐ฒChumba kimoja Master kikubwaa
๐ฒUmeme submiter inafungwa
๐ฒMaji yanaflow ndani
๐ฒFence amna ila usalama wa kutosha
๐Ziko 3 kwenye compaund moja
๐นKODI Tsh100,000/= ร 6 (MIEZI SITA)
๐นMALIPO YA DALALI TSH 100,000/=
๐นSERVICE CHARGE Tsh 15,000/=
#Piga_simu๐
#0710614924
#0688653940