1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 MASTER BED ROOM NZURI INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE
➖➖➖➖➖
📍 Kimara Korogwe
🕑 Umbali kutoka stand ya mwendo kasi ni dakika 12–15 kwa miguu, au boda boda Tsh 1,000 tu mpaka getini.
🏡 #SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja master
🔹 Sehemu ya jiko
🔹 Umeme sub-meter yake
🔹 Maji yanflow ndani
🔹 Fenced & packing kubwa
👉 Nyumba inapatikana kwa kuangaliwa muda wowote kuanzia sasa. Itakuwa tayari kuhamia kuanzia tarehe 01/12/2025. Malipo yanapokelewa, na booking inaruhusiwa.
GHARAMA
🔶 Kodi: Tsh 130,000 × 6 (miezi sita)
🔶 Malipo ya dalali: Tsh 130,000
🔶 Service charge: Tsh 15,000
_______________
#Piga_simu👇
O740747383
#.&Whatsapp📞
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja 😊



















