1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 MASTER ROOM MPYA YA KISASA – KIMARA KOROGWE
📍 Eneo: Kimara Korogwe
🕓 Umbali: Dakika 6 tu kutoka stand ya mwendo kasi
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
Chumba kimoja Master, kipya na cha kisasa sana
Jiko zuri na la kisasa
Umeme & Maji #Inajitegemea
Maji yanatiririka ndani masaa 24/7
Fenced & Parking kubwa na salama
👉 Zipo nyumba 4 tu kwenye compound, na hii ni mpya kabisa — tayari kwa kuhamia kuanzia tarehe 10/02/2025, ulipaji ni luksaa kabisa
💰 GHARAMA:
Kodi: TSh 180,000 × 6 (miezi sita)
Malipo ya dalali: TSh 180,000
Service charge: TSh 15,000
📞 #Piga_simu👇
📱
#please #Follow_us 🙏
Karibu Sana Mteja!
0713661530_0783661530



















