1 Bedrooms House for Rent at Kinondoni, Dar Es Salaam


Property Listing:
Location: Maeneo ya Kinondoni Rooms: Master bedroom, Sebule, and Jiko
Rent: 600,000 TZS per month🏠
Specifications:
• Nyumba iko Maeneo ya Kinondoni (Biafra)📍
• Chumba kimoja ni Master.
• Jiko lina vifaa vya kisasa.
• Ukuta umewekwa na kuna sehemu ya kuegesha gari.
• Maji na umeme ni ya kulipia binafsi.
• Nyumba iko karibu na barabara.
Payment Conditions:
• Kodi ya nyumba kwa mwezi ni 600,000 TZS✅
• Malipo ya kodi ni kwa miezi sita (6).
• Mwezi mmoja wa deposit (caution money).
Service Fees:
• Gharama ya kuona nyumba ni 20,000 TZS (inalipwa mara moja hadi utakapopata nyumba).
• Gharama ya dalali ni mwezi mmoja wa kodi ya nyumba, ambayo hulipwa na mpangaji tofauti na kodi.
Contact:Simu/Whatsapp: 0744 701 813📲