1 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro


Nyumba Ya Kupanga: Chumba, Sebule na Jiko - 400k TZS/Mweziš
NB : Mpangaji Anatoka Tarehe 10/10/2024, Kuona na Kulipia Ruksaš
Specifications:
⢠Nyumba ipo Maeneo ya Changanyikeni, UDSMš
⢠Chumba kimoja ni Master Bedroom
⢠Jiko lake lakisasa
⢠Fence na Parking ya Uhakika
⢠Full Air Conditioner
⢠Nyumba ipo karibu na Main Road (dk 5 kutembea)
Masharti ya Malipo:
⢠Kodi ya Nyumba kwa Mwezi ni 400,000 TZS
⢠Malipo ya Kodi ni ya Miezi Sita (6)
Gharama za Huduma:
⢠Gharama za Kuona Nyumba ni 20,000 TZS (Inalipiwa mara moja hadi utakapopata nyumba)
⢠Gharama za Dalali ni Mwezi Mmoja wa Kodi ya Nyumba, ambayo hulipwa na Mpangaji tofauti na Kodi.
Mawasiliano:
⢠Simu/Whatsapp: 0744701813š²