1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







#APARTMENT MPYA#INAPANGISHWA
📍Kimara korogwe
đź•“Umbali wa Kutoka stand ya mwendo Mwendokasi Dakika 6 Tu kwa mguu
#SIFAZAKE
🔸Chumba Kimoja master kikubwa
🔸Sebule
🔸Jiko linawekwa makabati
🔸Umeme & Maji #Inajitegemea
🔸Fence & Parking kubwa
👉Zipo apartments 4 kwenye Compound
🔹Kodi Tsh 300,000/=×6(Miezi 6 )
🔹Malipo ya Dalali Tsh 300,000/=
🔹Service Charge Tsh 15, 000/=
📌Zinakuwa zimekamilika kwa kuhamia Tar 15/09/2025 kuona na kufanya malipo luksa kabisa
#Piga_simu👇
#0710614924
#0688653940