2 Bedrooms House for Rent at Goba, Dar Es Salaam


APARTMENT 4TU NDANI YA FENCE MOJA ZINA PANGISHWA GOBA MTAA WA MUHIMBILI KUTOKA LAMI KM 1
--------
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Slide window
Luku yako
Tiles
Gypsum
Maji yana flow
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
--------
Service charge 15,000\/=
---------
Kodi 350,000\/=×6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 3.5
----------
PIGA SIMU
0716223412
0683597453