2 Bedrooms House for Rent at Kigamboni, Dar Es Salaam







700,000/= KIGAMBONI
=========
NYUMBA INAPANGISHWA
INAJITEGEMEA UMEME NA MAJI
IPO. KIGAMBONI KISIWANI
UMBALI DAKIKA 8 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
Ipo ndani ya fence parking kubwa sana
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Sebule kubwa sana
Jiko kubwa la kisasa lina fungwa makabati
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Tiles
Gypsum
Service charge 20,000/
Kodi 700,000/=×6
--------
Nb
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 700,000
CONTACT:: 0672 673363 / 0763 219307



















