2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA SUKA DK10 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
--------
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Jiko kubwa la kisasa lina makabati
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Heater ya maji moto maji baridi
Tiles
Gypsum
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
---------
Service charge 15,000/=
Kodi 400,000/=×6
-----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 4.6
------------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693_673010
#dalali_big_kimara 🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏