2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







(400,000X6)KIMARA KOROGWE
——
AUKIIKOSA HIYO HAKUNA TENA YA BEI KAMA HIYO.
APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA KOROGWE DK10 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
-------
Vyumba 2VIWILI vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko
Public toilet
Slide window
Luku yako
Maji yana flow
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 400,000/=×6
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 4
----------
Contact
0716223412
0618976024
FOCUS_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏