2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Bucha
🕑Dakika 4 kutembea Kutoka Mwendokasi
#SIFAZAKE
🔹Vyumba viwili, Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Jiko
🔹Choo cha familia
🔹Umeme Luku Yake, Maji yanaflow ndani
🔹Hakuna fensi, ila usalama ni mkubwa na Gari inalala nje hapo, Kuna walinzi Kabisaa
👉Hii inakuwa Wazi Tar 30/07/2024 Kuiona na Kulipia Ruksa.
🔶Kodi Tsh 350, 000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Jose Tsh 350, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
,
#0688573777. 📞&Whatsapp
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊