2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA MBEZI LUGURUNI #350K\n\nVyumba 4 vya kulala viwili master bedrooms sebule kubwa dinning kubwa jiko kubwa stoo public toilet na mabanda ya kutosha ya kufugia\n\nKodi 350,000 kwa mwezi × 6\n\nUmbali KM 1 bodaboda 1000 bajaji 700, upande wa kushoto kama unaenda kibamba \n\nNdani ya fensi parking kubwa mnooo unaweza ukafuga mabanda yapo, unaweza kilima mboga mboga sehemu ipo\n\nKupelekwa kuona nyumba elfu
#0785889413