2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


Nyumba hii ni kubwa ukubwa ni Vyumba v 2 kulala
Sebule ipo kubwa
Jiko lipo kubwa
Choo kikubwa
Luku yako pekeyako
Maji ulipi 👈
usafi ulipi👈
Gagani ufanji wewe yupo mutu uli👈
Paki kubwa safi👈
Kwenye fesi zipo nyumba 2 mbali mbali
Sana kod sh laki 3 //👈
malipo miezi 6
Ilipo njia ya mbezi beach kituo
ni kunduchi mtongani 👈
Mwenyenyumba hakai hapo
#0716623170