2 Bedrooms House for Rent at Sinza, Dar Es Salaam







.
Inapangishwa SINZA MORI
Ina vyumba viwili vya kulala kimoja kina choo ndani
Sebule
Jiko
Public toilets
Nyumba ya kisasa sana
Kodi 1,000,000/= Tzs kwa mwezi
Viewing fee 20,000/= Tzs
Agency fee 1,000,000/= Tzs
Piga: 0769138053