2 Bedrooms House for Rent in Tabata, Dar Es Salaam


🏢 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BIMA 🏢
Kiwanja kizuri sana kinauzwa Tabata Bima, kipo takribani dakika 1 tu kutoka kituoni 🚶♂️.
Kipo ndani ya fence, ni tambalare kabisa 🟩, hakijai maji 💧❌, na kinafikika bila shida 🚗.
Ni eneo zuri sana kwa uwekezaji wa apartments 🏬. Unaweza kujenga:
🔹 Apartments za ghorofa zenye vyumba viwili
🔹 Au chumba kimoja, sebule na jiko
Kodi inaweza kuanzia 600,000/= 💰 na kuendelea kulingana na finishing utakayoweka, na kupata wapangaji bila changamoto 👍.
Pia mbele unaweza kujenga fremu za biashara 🏪 na kuongeza chanzo kingine cha mapato.
📐 Ukubwa: SQM 800
🏢 Unaweza kujenga hadi ghorofa 3–5 na kupata zaidi ya nyumba 12 za kupangisha.
💵 Bei: Milioni 135 tu.
👀 Service charge: 30,000/=
🔥 Hii ni fursa ya kweli ya uwekezaji!
🤝 Karibu tufanye biashara tajiri.
📞 Wasiliana nami: +255 688 412 890
✨ Dalali wako Wakishua



















