2 Bedrooms House for sale at Kitunda, Dar Es Salaam







NYUMBA YA VYUMBA VIWILI (2),TSHS.35 MILIONI,
KITUNDA KIVULE/ILALA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa kuna pande mbili (2) ambapo kila moja ina
Chumba Masta kimoja, S3bule na Jiko lake.
Ukubwa wa Kiwanja ni SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.