2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🏠 APARTMENT INAPANGISHWA
📍 Mahali: Kimara Korogwe
🕓 Umbali: Dakika 3 tu kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi
SIFA ZA NYUMBA
🔹 Vyumba 2 (kimoja ni Master)
🔹 Sebule kubwa
🔹 Jiko
🔹 Choo cha familia (cha ndani)
🔹 Umeme na maji vinajitegemea
🔹 Fence & parking kubwa
💰 Kodi: Tsh 450,000 × 6 miezi
💰 Dalali: Tsh 450,000
💰 Service charge: Tsh 15,000
📌 Kumbuka: Mpangaji anatakiwa awe Muislam
📅 Itakuwa wazi tarehe 30/12/2025
Mteja anaweza kuja kuona mazingira ya nje na kufanya booking mwezi mmoja au miwili mapema — inaruhusiwa.
📞 Wasiliana nasi:
📲 0740 747 383 (Simu & WhatsApp)



















