2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







Imelipiwa Imelipiwa
400,000x10. 0759151524
APARTMENT NZURI INAPANGISHWA KIMARA SUKA
Vyumba viwili Vyote master
Sebule kubwa sana
Inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon. Full makabati
Bei:400,000 Kwa mwezi × 10
Umbali dakika 15 Kwa mguu toka kituoni
Ndani ya fence parking IPO
Wapanaji wa wilitu
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
Itakuwa wazi kesho
0679 956 863
0781 418 437
0759151524