2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENTS YENYE VYUMBA VIWILI FULL FURNITURE INAPANGISHWA
BEI NI MILIONI 1,400,000 KWA MWEZI MALIPO NIYA KWANZIA MWEZI MMOJA NA KUENDELEA
NI PAMOJA NA MALIPO YA DALALI YA MWEZI MMOJA
KUONESHWA NI ELFU 30,000
IPO MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI KAMA UNAENDA SHOPPERZ PLAZA
NI DK 0 TU KUTOKA LAMI KUINGIA KWENYE NYUMBA
INA VYUMBA VIWILI VYA KULALA VYUMBA VYOTE NI
#master
#sebule
#jiko #open #kitchen
#luku #yako
#fence#geti #nilalimont
#Security#fence
#Camera#zipo
#tv
#sofa#za#kisasa
#friji
#vitanda
#nk............
#call
๐ฒ 0682 402 327 ๐ถ
๐ฒ 0653 267 999 ๐ถ ya WhatsApp