2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Tabata, Dar Es Salaam


Apartment kali mpya
@
Inapangishwa
@
Bei 900,000 kwa mwez
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Ipo tabata shule
@
Nyumba ya vyumba 2 sebuke jiko choo
@
Chumba kimoja master
@
Nyumba lami
@
Umeme mita yako na maji pia
@
Parkingi ipo
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wsp 0659848687