3 Bedrooms House for Rent at Kibamba, Dar Es Salaam


NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIBAMBA SHULE KM1.8 KUTOKA LAMI
--------
Vyumba 3 vya 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Dinning room
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Tiles
Gypsum. Slide window
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
----------
Service charge 15,000/=
Kodi 500,000/=×6
-----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 5
------------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693_673010
#DALALI_BIG_KIMARA 🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏