3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 500,000

NYUMBA HII NZURI IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA NA ZIPO MBILI TUU KWENYE FENSI MOJA NA ZIPO MBALI MBALI BEI NI 500,000/= X 6

ITAKUWA WAZI KUANZIA TAREHE 01/11/2024 AU MAPEMA ZAIDI YA HAPO

๐ŸŒŸ NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 3 VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA
#DINNING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#PUBLIC TOILET
#LUKU NA MITA YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA
#PARKING KUBWA
#GARDEN

#ZIPO NYUMBA MBILI TUU KWENYE FENSI MOJA NA ZIPO MBALI MBALI NA HII MOJA NDIO INAPANGISHWA

BEI NI 500,000/= X 6

๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ NYUMBA HII IPO KIMARA TEMBONI UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 10 TUU KWA MIGUU USAFIRI NI BAJAJI NA UKISHUKA TUU KWENYE BAJAJI UNAPIGA TEKE MLANGO KWA MIGUU NA NJIA NI RAFIKI KWA AINA ZOTE ZA MAGARI HADI KWENYE NYUMBA

KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA

0753 989554
0773700963
==รท=รท=

Bashiri Ngenzi
dalali_mbezimwisho_kibamba
Bashiri Ngenzi

Similar items by location

3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

#KODI 300000 K X6 KIMARA TEMBONI__________NYUMBA YA KUPANGA IPO #KIMARA_TEMBONI # NYUMBA INAJITEG...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

:๐˜ผ๐™ฅ๐™–๐™ง๐™ฉ๐™ข๐™š๐™ฃ๐™ฉ ๐™‰๐™ฏ๐™ช๐™ง๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™†๐™ช๐™ฅ๐™–๐™ฃ๐™œ๐™–#๐™‡๐™ค๐™˜๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ค๐™ฃ: KIMARA SUKA#๐˜ฟ๐™ž๐™จ๐™ฉ๐™–๐™ฃ๐™˜๐™š: U...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT KALI ZA KISASA ZINA PANGISHWA KIMARA MWISHO DK4 KWA MIGUU KUTOKA LAMI . MKATABA UNA ANZA ...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT KALI ZA KISASA ZINA PANGISHWA KIMARA MWISHO DK4 KWA MIGUU KUTOKA LAMI . MKATABA UNA ANZA ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

NDUGU ZANGU HIZI APARTMENT NZURI SANA ZA KISASA ZINAPANGISHWA """""""โ€""""""""""""""""""""""""""""""...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 300,000

Apartment nzuri ya kisasaInapangishwa Mahali: Kimara MwishoBei: 300,000 Kwa MweziMalipo: Miezi 6Piki...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

(200,000 ร— 6) #KIMARA_TEMBONIAPARTMENT NZURI KALI INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI KM 2 UKISHUKA KWENYE B...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

APPARTMENT NZURI KALI INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI KM 2 UKISHUKA KWENYE BAJAJI DK 1 UPO KWA NYUMBASIF...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

APPARTMENT NZURI KALI INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI KM 2 UKISHUKA KWENYE BAJAJI DK 1 UPO KWA NYUMBASIF...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

MPYAA MPYAAA MPYAA KABISA ZINA PANGISHWA KODI 200,000X6 MAONGEZI KUHUSU MIEZI YAPOLOCATION: KIMARA ...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

CHUMBA MASTER SEBULE NA JIKO KODI 200,000X3/4/5/6MPYAA KABISA UNAZINDUA MWENYEWE LOCATION: KIMARA SU...

3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT KUBWA SANA INA PANGISHWA LOCATION: KIMARA SUKAKODI 300,000X6 VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMO...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

MPYAA MPYAAA MPYAA KABISA ZINA PANGISHWA KODI 200,000X6 MAONGEZI KUHUSU MIEZI YAPOLOCATION: KIMARA ...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 387,747

HAPA MBIO ZAKO TUU NDUGU MTEJA BEI NI 500,000/= X 6ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 01/02/2026 KUIONA NDAN...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 100,000

APARTMENT NZURI SANABADO MPYAA ๐Ÿ”ฅMASTER BEDROOM INAPANGISHWAKIMARA TEMBONI๐Ÿ’ฅ *KODI YAKE 100K X6 //**...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

APPARTMENT NZURI KALI INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI KM 2 UKISHUKA KWENYE BAJAJI DK 1 UPO KWA NYUMBASIF...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

MPYAA MPYAAA MPYAA KABISA ZINA PANGISHWA KODI 200,000X6 MAONGEZI KUHUSU MIEZI YAPOLOCATION: KIMARA ...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 100,000

APARTMENT NZURI SANABADO MPYAA ๐Ÿ”ฅMASTER BEDROOM INAPANGISHWAKIMARA TEMBONI๐Ÿ’ฅ *KODI YAKE 100K X6 //**...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

MPYAA MPYAAA MPYAA KABISA ZINA PANGISHWA KODI 200,000X6 MAONGEZI KUHUSU MIEZI YAPOLOCATION: KIMARA ...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 170,000

APARTMENT INAPANGISHWA LOCATION KIMARA MWISHO KM 1 ZIPO AINA MBILI--โ€------------------------- SIFA...