3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







NYUMBA KUBWA YA KISASA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA TEMBONI KM 2 KUTOKA LAMI INAKUWA WAZI TAR 1.2.2026
-----
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Dinning room
Jiko kubwa la kisasa lina makabati
Public toilet
Maji yana flow
Full air condition
Ndani ya fence
Parking space kubwa
------
Service charge 15,000/=
Kodi 700,000/=×6
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 7
-------
Contact
#0676_218580(WHATSAPP )
#0693_673010
#dalali_big_kimara
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏



















