3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







300,000x6
STAND ALONE INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI
Vyumba vitatu kimoja master
Sebule kubwa sana
Inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon. Full makabati
Bei:300,000 Kwa mwezi × 6
KM 1.5
Haina fence parking IPO
Unajitegemea kirakitu unaishi mwenyewe
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
Itakuwa wazi kesho
#0785889413
#0754589413