3 Bedrooms House for Rent at Mabibo, Dar Es Salaam


NYUMBA
@
Inapangishwa
@
Bei 500,000 kwa mwez
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Mahali mabibo N I T
@
Ni nyumba ya vyumba 3 sebule jiko choo bafu
@
Chumba kimoja master
@
Umeme na majj inajitegemea
@
Fensi & parkingi ipo
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687