3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro


🏡 NAPANGISHA NYUMBA YA FAMILIA – SINGIDA
📍 Ipo Somoko, barabara ya Arusha – Singida Manispaa
👉 Vyumba vitatu (kimoja master)
👉 Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha
👉 Jiko la kisasa lenye makabati
👉 Dining room
👉 Imezungushiwa ukuta wa tofari
👉 Eneo kubwa linalofaa kufuga au kulima bustani
💰 Kodi: 180,000/= kwa mwezi
📞 Mawasiliano: 0658 128 485
---
✨ Nyumba ipo sehemu tulivu, salama na yenye nafasi kubwa kwa matumizi ya familia.
#dalalisingida #dalaliwanyumbasingida #renthouse_singida #renting_house_singida #nyumbazakuapangasingida #singida #nyumba_singida #apartment_singida #houseforsale_singida #singidatown #farming_singida #bustani_singida