3 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 20,000

NIMEISHUSHA BEI SASA 💥650K X6 STAND ALONE INAPANGISHWA
MBEZI MWISHO KARIBU KABISA NA ROUND ABOUT YA DARAJA LA MAGUFULI BUS TERMINAL..

NYUMBA KUBWA INAYOJITEGEMEA NDANI YA FENCE
INAPANGISHWA

💥KODI YAKE 650K X6

UMBALI KUTOKA KITUO CHA MBEZI MAGUFULI TERMINAL NI DAKIKA 5 TU KWA MIGUU..

SIFA ZA NYUMBA::--

VYUMBA VITATU VYA KULALA NA VIWILI KATI YA HIVYO, NI MASTER BEDROOMS SEBULE KUBWA, DINNING MAJIKO MAWILI, NDANI NA NJE PAMOJA NA STORE MAKABATI SAFI, NA PUBLIC TOILET NZURI YA NDANI

NYUMBA BADO NI MPYA KABISA,

TILES JIPSUM, SLIDE WINDOW NDANI YA FENCE YA PEKE YAKE PARKING KUBWA.

UMEME LUKU YAKO PIA MAJI YANATIRIRIKA NDANI

ILIPWE SHILINGI LAKI SITA NA NUSU KWA MWEZI NA MUDA WA MALIPO NI MIEZI SITA

CHANGAMKIA FURSA NDUGU MTEJA

SERVICE CHARGE NI TZS.20000

🏘️🇹🇿WELCOME

SIMU

+255 684 88 14 29
+255 658 58 64 49

MSHATI

#Dalali   kimara
dalali_kimara_mbezi_
#Dalali kimara

Similar items by location

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

KIWANJA SAFI NDANI YA FENCE KINA UZWA MBEZI MWISHO NYUMA YA STEND YA MKOWA KM1 KUTOKA LAMI ------SQ...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 500,000/= ×6 TU__MBEZI KWA MSUGURI HAPA MBIO ...

3 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

$ 500,000

HOUSE FOR SALELOCATION: MBEZI BEACH – JK NYEREREPLOT SIZE: SQM: 900+PRICE: USD 500,000The house is a...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 38,000,000

Mbezi Malamba Mawili🔥🏠Ukubwa: Sqm 400Bei: Mil 38 tu!!! (FIXED)🔥 - Vyumba 3 (1 Master) - Sebule + ...

3 Bedrooms House/Apartment for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 140,000,000

Nyumba ya vyumba vitatu ,sebule , dinning na jiko inauzwa na kiwanja chake kizuri sana kinafaa kuwek...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 800,000

#VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENT#IKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBEZI JUU KWA ULOMI...

House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT FOR RENT LOCATION MBEZI LUGURUNI UMBALI WA KM 1,5 BODA ELF MOJA 1000 INAFAULISHWA MPANGAJI...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam
  • By Installment

Sh. 350,000,000

Plot For Sale Mbezi Msakuzi 🛣️ 3km From Morogoro Road ( Mbezi Magufuli Terminal)🏷️Price      SQM 3...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 160,000

APARTMENT ZINA PANGISHWA MBEZI KWA MSUGURI KM2 KUTOKA LAMI BARABARA SAFI YA ZEGE. -----Chumba maste...

3 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 38,000,000

Nyumba Mpya Nzuri InauzwaMahali: Mbezi Malamba MawiliBei: Milioni 38 (Mazungumzo)☑️Vyumba 3, Kimoja ...

1 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 120,000

NYUMBA INAPANGISHWAIPO - DAR ES SALAAM📍ENEO- TEMBONI Upande wa kulia kama unaenda mbezi📍BEI - 120,...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 400,000,000

ENEO KUBWA LINA UZWA MBEZI KWA MSUGURI DK10 KWA MIGUU KUTOKA LAMI ENEO LINA NYUMBA 2 NDANI UKUBWA W...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 280,000

APARTMENT NZURI MPYA ZA KISASA ZINAPANGISHWA MBEZI LUISI (MACHIMBO)KODI YAKE 280K X 5x6💫💫 APARTMEN...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

MPYAA🔥🔥MPYAAPARTMENT YA KISASA💥KUHUSU SWALA MAJI HAPA SAHAU USIJE HATA NA NDOO...💥 *KODI YAKE 40...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

#APPARTMENTS MPYA NZURI SANA TAJIRI HII NI FIREEEEnlUMEONA WAP .......KODI:400,000TSH LOC: MBEZI MAG...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000

NEW APARTMENT HOUSE FOR RENT VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALAIKO-DAR-ES-SALAAM TZ LOCETION MBEZI BEACH TAN...

House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT FOR RENT LOCATION MBEZI LUGURUNI UMBALI WA KM 1 TU INAYOPANGISHWA NIYA YA JUUYENYE VYUMBA ...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 40,000,000

KIWANJA KINZURI KINAUZWA MBEZI KWA MSUGURI (KM 2)BEI NI MILIONI 40 MAOEGEZI YAPOKIPO MTAA WA KISHUWA...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

MPYAA🔥🔥MPYAAPARTMENT YA KISASA💥KUHUSU SWALA MAJI HAPA SAHAU USIJE HATA NA NDOO...💥 *KODI YAKE 40...

3 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

NYUMBA INAPANGISHWA MBEZI MWISHO-MADUKANIVyumba 3 vya kulala 2 ni master bedrooms, sebule dinning ji...