3 Bedrooms House for Rent at Sinza, Dar Es Salaam


NYUMBA STAND ALONE
@
Inapangishwa
@
Bei 1.500.000 kwa mwez
@
Mahali sinza
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Ni nyumba ya vyumba 3 sebule jiko dining
@
Chumba kimoja master
@
Parkingi ipo kubwa sanaaa
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Autoi pesa nyingine mpaka unapata nyumba
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687


















