3 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI YENYE HATI,VYUMBA 3, TSHS.130 MILIONI, BUNJU-A.
Ni umbali wa mita 900 tu kutoka Barabara ya Lami.
Nyumba Ina nafasi na mazingira ni salama.
Vyumba 3 (masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________