3 Bedrooms House for sale at Chamazi, Dar Es Salaam


YA-VYUMBA 3,TSHS.30 MIL.TU,CHAMAZI-MBAGALA.
Ipo jirani na Lami.
Hii unatakiwa uje mbio na Pesa mkononi.
Vinginevyo unaikosa.
Imejengwa kisasa.
Vyumba 3(Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko,
Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba Ina umeme.
Vyakumalizia ni vichache mno, wahi.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________c


















