3 Bedrooms House for sale at Kigamboni, Dar Es Salaam


Nyumba inauzwa kigamboni
Location;, Kigamboni#BambaBeach
Ukubwa wa Eneo lake ni #Sqm600
*Nyumba ni nzuri sana na ni ya kisasa,
*Ina vyumba vitatu vya kulala, viwli ni master, sebule, jiko,dining,store pamoja na choo cha publict
Umbali kutoka ferry ni km15 na kutoka lami hadi kwenye nyumba ni km2
* Maji&Umeme tayali vipo. Pia nyumba ina hati yawizara
*Bei; Million 280/=Tzsh. Maongezi yapo
NOTE; Nyumba bado mpya kabisa haijakalia na mtu yeyote.
Nipigie kwa mahitaji na maelezo zaidi; 0656775637 0755489848