3 Bedrooms House for sale at Kinyerezi, Dar Es Salaam





NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.27 MILIONI,
KINYEREZI-LIMBANGA.
Hapa unaweza KUHAMIA tu.
Huhitaji hata kufagia.
Vyumba hii ina vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mskv
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.