3 Bedrooms House for sale at Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI YAKUHAMIA, ROOM 3,TSHS.89 MILIINI, KIVULE-FREMU KUMI.
Hii nyumba Ina HATI (Title Deed) ya Wizara.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 673.
Nyumba ya kisaaa yenye nafasi na iliyojengwa imara.
Vyumba 3(Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mskv