3 Bedrooms House for sale at Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KUMALIZIA UJENZI-KIDOGO, TSHS.27 MILIONI, KIVULE KWAMAKONDE.
Hapa ni jirani na Kituo cha Daladala cha Magole.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule,
Jiko,Dining-room,
Na Choo cha Familia ndani.
Gari inafika na Umeme na Tiles tayari vipo.
Umaliziaji ni mdogo tu uliobako,
Na INAWEZA KUKUSITIRI katika hali yake kuliko kuanza kuhangaika na Kiwanja ndipo uanze ujenzi.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.