3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam







NYUMBA MPYA YA KISASA,
VYUMBA VITATU (3) TSHS.330 MILIONI, MADALE.
Hii ni nyumba ya kileo ambayo ipo umbali wa mita400 tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800.
KIWANJA KIMEPIMWA (Hati kutoka kwa jina la mnunuzi)
Mjengo ni aina ya KUFICHA BATI Contemporary)
Vyumba vya kulala vipo vitatu (3)
Vyote ni vikubwa na kila kimoja kina Choo chake ndani.
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Jiko la nje na Chok cha nje.
Nyumba ina:
ACs,
CCTV Cameras,
Electric Fence,
Garden na
Parking yake ina Paving Blocks sifa zake kwa uchache.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.