3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KISASA, VYUMBA 3 (MASTA 2) TSHS.160 MILIONI, MADALE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii ni nyumba ya nzuri, safi ya-KUHAMIA.
Eneo nj jirani (mita 100) tu kutoka Barabara ya Lami ya Wazo/Madale.
Vyumba 3 ( Vyumba vyenye Vyoo ndani 2)
Pia kuna Sebule ,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Tiles, Gypsum,Dirisha za Vioo,
Parking yenye Paving na Electric Fence hizi ni baadhi tu ya sifa kedekede za Hii nyumba.
Utulivu na usalama hapa ndipo penyewe.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
________________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.