3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba kalli sana ipo mbagala chamaz mikumi jiji la dar es Salam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa vigoa
Ina uzwa tsh mil 59 tu
Vyumba vipo vitatu vya kulala kimoja ni master bedroom ina sitting room na dining room inajiko na store ina maji na umeme upo wa luku nyumba nzuri sana
Kwa maelekezo zaidi nipigie cm au nicheki whatspp 0759 203175 0759 203175 0652618143