3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam


Pagale linauzwa bei milioni 9 maongezi kdogo yapo, lipo mbagala charambe kwambiku location chaboko. Pagale lina vyumba 3 vyakulala, sitting room, rooms 2 ni masters bedroom, jiko, na single room, na kuna mtaa wa kupita gari hadi hapo kwenye Pagale na Eneo lake lina ukubwa wa futi wa 40 kwa 40. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.