3 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBAYA NZURI, VYUMBA VITATU (3) TSHS.120 MILIONI, MBEZI MWISHO.
Hii nyumba ipo MBEZI MWISHO,GOBA ROAD.
Wastani wa mita 700 kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba kubwa Ina vyumba 3 ( Masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna nyumba ndogo yenye vyumba 2.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.