3 Bedrooms House for sale at Mikocheni, Dar Es Salaam


NYUMBA INAYOFAA KWA HOSTEL, TSHS.65 MILIONI TU, MIKOCHENI, JIRANI NA KAIRUKI.
Eneo hili ni la Biashara nzuri ya Huduma za Hostel.
Eneo ni jirani na Hospitali ya Kairuki.
Nyumba Ipo kwenye hali nzuri.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________Emk
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.