3 Bedrooms House for sale at Ukonga, Dar Es Salaam





NYUMBA YA VYUMBA 3, TSHS.25 MILIONI, UKONGA BANANA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Imepangiliwa kisasa.
Vyumba 3 (Masta 1) pia kuna Sebule,Jiko,
Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548.
____________msK
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.