3 Bedrooms House for sale in Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, BANDA VYUMBA 2,TSHS.90 MILIONI,MBAGALA CHAMAZI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia.
Nyumba Ina kisima na Parking yakutosha.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________rkmb



















