3 Bedrooms House for sale in Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inauzwa ipo mbagala mbande tambani bei milioni 20. Nyumba ina rooms 3 vyakulala sitting room, room moja ni master bedroom na public toilet ipo pia, umeme upo unawaka ndani, na kuna eneo kubwa tu, unaweza hata ukatengeneza nyumba ingne eneo lake au ukaweka fensi ya kutosha tu eneo lake. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.



















