3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ# APARTMENT #INAPANGISHWA
๐Kimara korogwe
โฐUmbali wa kutoka stand ya mwendo kasi dakika 1 kwa mguu haina haja ya kupanda bodaboda
#SIFAZAKE
๐นVyumba Vitatu , vyakulala
๐นSebule kubwa
๐นJiko
๐นPublic Toilet ya ndani
๐นUmeme & Maji #Inajitegemea
๐นFenced & parking Car kubwa
โHaina master
๐Zipo 3 Tu kwenye fance moja na hii moja ipo wazi kwa kuhamia
๐ธKodi Tsh 350, 000/=x6(Miezi Sita)
๐ธMalipo ya Dalali Tsh 350,000/=
๐ธService Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu๐
O627977383
&Whatsapp
#Follow usWhatsapp