4 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA BARUTI DK15 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
------
Vyumba 4 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Dinning room
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Slide window
Luku yako
Maji yana flow
Ndani ya fence
Parking space kubwa
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 650,000/=×6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 6.5
----------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693__673010
#DALALI_BIG_KIMARA🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏