4 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA MBEZI LUGURUNI #350K
Vyumba 4 vya kulala viwili master bedrooms sebule kubwa dinning kubwa jiko kubwa stoo public toilet na mabanda ya kutosha ya kufugia
Kodi 350,000 kwa mwezi × 6
Umbali KM 1 bodaboda 1000 bajaji 700, upande wa kushoto kama unaenda kibamba
Ndani ya fensi parking kubwa mnooo unaweza ukafuga mabanda yapo, unaweza kilima mboga mboga sehemu ipo
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
0679447338
0753454167